Sakata la wachezaji wa Simba na TFF lamalizwa, Manara asema wachezaji na uongozi hauna kinyongo kwa maslahi ya nchi (+video)

IF YOU ARE 18 YEARS CLICK BELOW TO WATCH AND DOWNLOAD FULL VIDEO

Friday, August 31, 2018

Sakata la wachezaji wa Simba na TFF lamalizwa, Manara asema wachezaji na uongozi hauna kinyongo kwa maslahi ya nchi (+video)

Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini (TFF) kupitia kwa msemaji wake, Clifford Ndimbo amesema kuwa wamemalizana na klabu ya Simba juu ya sakata kuenguliwa wachezaji sita wa timu hiyo kunako Taifa Stars kwa madai ya utovu wa nidhamu huku, Haji Manara aliye wawakilisha mabingwa hao wa ligi kuu Tanzania Bara kwa upande wake ameongeza kuwa wachezaji na uongozi mzima hauna kinyongo wanachoomba ni ushirikiano wa Watanzania wote.
Share :
Facebook Twitter Google+

 

Back To Top